Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, January 29, 2012

FRANCIS CHEKA AMDUNDA KALAMA NYILAWILA KWA POINTI


Bondia Francis Cheka akinyoshwa mkono juu na refarii Nemesi Kavishe wakati wa mpambano wake na Kalama Nyilawila ambaye mpaka sasa aamini matokeo hayo
Askali wa usalama wakiendeleza ulinzi wakati wa mpambano huoo jana
Bondia Kalama Nyilawila Kushoto akioneshana ufundi na Frenisic Cheka
Fransic Cheka akinyosha mikono juu baada ya kuibuka mshindi
Francis Cheka kushoto na Kalama Nyilawila wakioneshana umwamba wa kutupa masumbwi jana
Baadhi ya mashabiki waliojitokeza wakati wa mpambano huu
Mawe ngumi makonde Boxing kushoto ni Francis Cheka na Kalama Nyilawila
Bondia Francis Cheka (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupa masumbwi na Kalama Nyilawila wakati wa mpambano wao uliofanyika uwanja wa Jamhuri Morogoro mwishoni mwa wiki cheka alishinda kwa pointi.picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Madaraka Nyerere kushoto akifatilia mpambano huo jana
Baadhi ya wadau wakubwa wa mchezo wa ngumi wariofunga safari kutoka Dar kwenda Moro kuangalia mpambano kushoto ni kocha wa masumbwi nchini, Habibu Kinyogoli, Issa Malanga,Rashidi Mtulumla na Hssani Matumla
Bondia Ibrahimu Class (kushoto) akipambana na Venasi Mponji wakati wa mpambano wUtangulizi walitoka droooo
Bondia Ibrahimu Class akisikiliza maelezo toka kwa kocha wake habibu kinyogoli
Bondia Ibrahimu Class (kushoto) akipambana na Venasi Mponji wakati wa mpambano wUtangulizi walitoka droooo

1 comment:

  1. nampongeza cheka kwa kuendeleza ushindi hasa pale anapocheza kwa ufasaha katika raundi zote. Sasa atafutiwe changamoto mpya hasa mapambano ya kimataifa.

    ReplyDelete

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...