Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, January 26, 2012

TWIGA STARS YAIKUNG'UTA BUNGE 2-1


Mchezaji wa timu ya Bunge, Sadifa Juma akimtoka Fatuma Haibu wa Twiga Stars katika mchezo wa kirafiki jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam ambapo Wabunge waliichangia Twiga, sh. mil 3. Katika mchezo huo Twiga ilishinda mabao 2-1.
Kikosi mchanganyiko cha timu ya Bunge
Kikosi cha timu ya wanawake ya soka ya Twiga Stars kilichochuana na timu ya Bunge
Twiga Stars ikifanya mazoezi
Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, William Nchimbi na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba (katikati) wakishuhudia mchezo huo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...