Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, January 26, 2012

WANAFUNZI WAANDAMANA DAR BAADA YA WENZAO KUGONGWA NA MAGARI


Wanafunzi wa Shule za Msingi Ndugumbi na Mwalimu Nyerere, Magomeni,Dar es Salaam, wakiandamana leo katika Barabara ya Kawawa, kuishinikiza Wakala wa Barabara wa Serikali (TANROADS), kuweka matuta barabarani, kufuatia wenzao wawili kugongwa na magari kunakosababishwa na mwendo kasi katika eneo hilo. (PICHA NA HAMISI MAGENDELA)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...