Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, October 13, 2013

YANGA YAICHAPA KAGERA SUGAR 2-1



Asante Ngassa

Chukua tano kwanza ....Asante!!
Kikosi cha Kagaera Sugar kilichoanza

Kikosi cha Yanga

Waamuzi wa mtanange huu

Waamuzi na Timu Kapteni wakiteta jambo muda mfupi kabla ya mpira kuanza

Benchi la Yanga kushoto ni Kocha mkuu

Benchi la Kagera Sugar

Dakika ya 2 Mpira ukirushwa kama kona na Kipa kuupangulia kwa adui na Hatimaye Mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngassa akafanikiwa kuipatia bao na hapa walikuwa wanashangilia bao hilo. Mpaka Mapunziko Yanga ilikuwa inaongoza kwa bao 1-0 dhidi ya Wenyeji Kagera Sugar. Habari na www.bukobasports.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...