Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, October 31, 2013

MWANAMITINDO WA KIMATAIFA MTANZANIA MAGESSE AZIDI KUTESA


 Mwanamitindo wa Kimataifa kutoka Tanzania, Millen Magesa wakipita jukwaani   kuonesha  mavazi yake katika Tamasha la Mercedez Benz African Fashion Week, lililofanyika kwenye Stesheni ya Treni ya Ravos ya Mjini Tshwane, Pretoria, Afrika Kusini hivi karibuni.
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa nchini Afrika Kusini, David Tlale akiwa na Mwanamitindo wa Kimataifa kutoka Tanzania, Millen Magesa wakipita jukwaani  stejini mara baada ya kuonesha ya kuonesha  mavazi yake katika Tamasha la Mercedez Benz African Fashion Week, lililofanyika kwenye Stehsni ya Treni ya Ravos ya Mjini Tshwane, Pretoria, Afrika Kusini hivi karibuni

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...