Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, October 17, 2010

MSONDO WAENDELEA KUKAMUA LEO WAPO MAX BAR ILALA

Wasanii wa bendi ya Msondo wakiwajibika jukwaani
Nacho Mpendu Mama Nzawisa akinengua wakati wa onesho lao jana
Isihaka Kitima DJ Papa Upanga akicheza
Shabiki wa yanga Chacha akimkabidhi elfu 20 kama kifuta machozi kwa washabiki wa simba wa bendi hiyo
waimbaji wa bendi ya msondo ngoma wakitoa burudani katika viwanja vya TCC Changombe Dar es salaam jana kushoto ni Hamisi Maliki, Isihaka KItima DJ Papa Upanga na Juma Katundu

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...