Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, October 28, 2010

Wakali wa BongoFleva Tanzania..ndani ya Moment Park, Kiwalani jmosi hii!


Nico Entertainment inawaletea Show kali ya Wakali wa BongoFleva ndani ya Ukumbi tulivu wa MOMENT PARK uliopo Kiwalani....
wasanii kibao wataperform Sam wa ukweli, Dullayo, Soprano, Hakeem 5, Spark na Mon G, mwenyeji wao ktk show hio ni OMMY G 'Gangsta'
kwenye moja na mbili kutapambwa na Dj Imma & Dj Pwangala
Show itaanza saa 2 usiku mpaka lukwili na
Kiingilio ni buku 3 kwa wanaume
na buku 2 kwa wanawake
wakazi wa Kiwalani na maeno jirani hii sio ya kukosa

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...