Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, October 28, 2010

WALISEMA AIJAHI SASA INAMWAIKA FROFESA LIPUMBA AUNGURUMA JANGWANI LIVE LEO TBC NA ITV

Baadhi ya kina mama wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za ugongombea urais wa CUF
Mlinzi wa kampuni binafsi akiwapanga wanachama ili wamsubili profesa

wakeleketwa wakiingia viwanja vya jangwani kwa stahili ya pekee
wafanyakazi wa TBC wakipanga mitambo yao ili waweze kurusha matangazo yao live na sasa yanasikika vema redioni na kwenye luninga

jinsi uwanja ulivyojaa watu waliamua kupanda juu ya mti kumuona Profesa Lipumba
Wtu walipigwa na jua rakini wapi walimsubili Profesa Lipumba aje kumwaga Sera zake za mwesho na kesho atakuwa Kidongo Chekundu






No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...