Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, February 14, 2012

TIGO YAKABIZI ZAWADI ZA WASHINDI WA PROMOSHENI YA ZAMU YAKO KUSHINDA

Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo Bi. Alice Maro (kushoto) akimkabidhi lap top Bi. Asma Abdallah baada ya kuibukla mshindi katika promosheni ya Zamu yako kushinda anaeshughudia katikati ni Mratibu wa Matukio wa Kampuni hiyo Bw. Edward Shila
Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo Bi. Alice Maro (kushoto) akimkabidhi lap top Bi. Esther Cheyo baada ya kuibukla mshindi katika promosheni ya Zamu yako kushinda anaeshughudia katikati ni Mratibu wa Matukio wa Kampuni hiyo Bw. Edward Shila
Baadhi ya wana habari walioibuka washindi wa vocha shiringi 10000 wakionesha vocha zao


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...