Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, March 30, 2012

KAMPUNI YA TIGO YAFUNGUA OFISI YA HUDUMA KWA WATEJA BAADA YA MATENGENEZO MAKUBWA MLIMANI CITY

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt, Cyril Chami akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya tigo baada ya kuzindua ofisi ya huduma kwa wateja baada ya matengenezo makubwa mlimani city leo

Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Cyril Chami akipatiwa maelezo ya moja ya bidhaa za simu zilizopo
simu humeiona muheshimiwaWaziri wa viwanda na biashara Dkt.Cyril Chami akikata utepe kuashiria uzinduzi huo leo kulia ni Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Tigo Bi.Hilda Damas
Msema Chochote Sauda Simba Kilumanga akionea

Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Tigo waliokuwepo katika ufunguzi huo wakiwa katika picha ya pamoja leo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...