Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, March 26, 2012

UZINDUZI WA MUONEKANO MPYA WA BIA YA BILIMA EXTRA LAGER


Meza Kuu wakigonganisha chupa kuashilia uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia ya Balimi Extra Lager Mkoani Shinyanga jana.Kutoka kulia ni Meneja Masoko wa TBL, Fimbo Butallah,Meneja mauzo wa Kanda, Malaki Sitaki, Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga,Amina Masenza, Meneja mauzo wa Mkoa wa Shinyanga, Robert Michael na Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa
Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia ya Balimi Extra Lager Mkoani Shinyanga jana.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Amina Masenza(kulia) akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia ya Balimi Extra Lager Mkoani Shinyanga jana.Kushoto ni Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa na Meneja mauzo wa Mkoa wa Shinyanga, Robert Michael.
Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wakina Dada walioshona sare za Balimi Extra Lager wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia ya Balimi Extra Lager Mkoani Shinyanga jana.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...