Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, May 16, 2012

NMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI KWA SHULE ZA MKOA WA MTWARA


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali (Mst) Joseph Simbakalia akisalimiana na Meneja wa NMB Kanda ya Kusini Bw. Thomas Kilongo huku wakishuhudiwa na Meneja wa Mahusiano Bi. Shy-Rose Bhanji wakati wa kukabidhiwa msaada wa Madawati kwa Shule za Mkoa wa Mtwara.
(Picha zote na Beatha Hyera, Afisa Habari Mtwara)
 Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Joseph Simbakalia (wa kulia) akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 15 kutoka kwa Meneja wa NMB Kanda ya Kusini Bw. Thomas Kilongo wakati wa kukabidhiwa msaada huo utakozinufaisha Shule za Msingi katika Wilaya za Masasi na Newala.
 Meneja wa Mahusiano Benki ya NMB Bi. Shy-Rose Bhanji akitoa maelezo kwa Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kuhusiana na msaada huo na ushirikiano mzuri uliopo kati ya Benki ya NMB na wananchi kwa ujumla katika kuhakikisha maendeleo ya elimu katika nchi yetu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...