Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, October 3, 2013

ZIARA YA WAZIRI MKUU WILAYANI KAKONKO - KIGOMA


Waziri Mkuu, MIzengo Pinda  akitazama  bunduki, risasi na  silaha mbalimbali  zinazolipuka vilivyokamatwa na  Jeshi la polisi  mkoani Kigoma kutoka kwa watu waliokuwa wakizilmiki kinyume cha sheria, Oktoba 2, 2013. Vifaa hivyo  viko kwenye Makao Makuu ya Polisi ya mkoa huo. Mheshimiwa Pinda yuko katika ziara ya siku sita mkoani Kigoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu,  Mizengo Pinda  akiweka jiwe la Msingi la Hoteli ya  CMG Motel  wilayni Kakonko akiwa katika ziara ya mkoa  wa Kigoma Oktoba 2, 2013. Kushoto ni mmiliki wa Hoteli hiyo Mwita Gachuma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akifurahia kigoda  alichozawadiwa na wakazi wa wialya ya Kakonko  kabla ya kuwahutubia katika mkutano wa hadhara akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Oktoba 2, 2013. Kushoto ni Mzee Mohamed Ismail ambaye alimkabidhi zawadi hiyo.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiagana na wananchi wa wilaya Kakonko wilayani  humo akiwa katika ziara ya  mkoa wa Kigoma Oktoba 2, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...