Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, October 3, 2013

Kikosi cha Usalama Barabarani chaendesha ukaguzi wa magari kwa wafanyakazi wa Airtel


Koplo Jumaa Mwalimu wa Kituo cha Polisi Oysterbay akikagua gari la mmoja wa wafanyakazi wa Airtel,  Bi. Susan Kajubili wakati  kikosi hicho, kilipoendesha zoezi la ukaguzi wa magari kwa wafanyakazi Airtel katika kutimiza lengo la wiki ya Nenda kwa usalama barabarani, liliyofanyika katika makao makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam.
Koplo Jumaa Mwalimu akikagua tairi la gari la mmoja wa wafanyakazi wa Airtel, James Majwala.
Mkaguzi wa Polisi Bw. Serengeti akiingia katika moja ya gari la mfanyakazi wa Airtel, Bi. Aminata Nakieta tayari kwa ukaguzi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...