Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, December 9, 2011

Airtel yazindua huduma ya kutuma fedha


Waziri wa fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo pamoja na Mkurugenzi
wa Airtel Money Kelvin Twisa wakizindua huduma ya Airtel Money
wakati wa ,hafla iliyofanyika, Dar es Salaam, Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa
Airtel Tanzania, Sam Elangallor akishuhudia tukio hilo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...