Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, December 3, 2011

WANAFUNZI WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA WAHITIMU LEO

Baadhi ya wanachuo wa Chuo cha Elimu ya Biashara CBE wakitunikiwa wakati wa mahafari ya 46 yaliyofanyika chuoni hapo Dar es salaam leo jumla ya waitimu 1973 wa shahada na Stashaada mbalimbali walitunukiwa vyeti


Baadhi ya Wahitimu wa Uongozi wa Usimamizi wa Biashara wakipongezana wakati wa mahafari ya 46 ya chuo hiko leo kutoka kushoto ni Saidi Mzuzuri, Mogasa Mogasa na Albert Kingu

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...