Mgeni rasmi akigawa katiba kwa wanachama
Katiba zikiendelea kugaiwa baada ya uzinduzi wake
Mkurugenzi Msaididi toka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bi. Vick Mwakasege akimkabidhi Katiba mweka hazina wa Jerusalem Group Bi, Rose Mkisi baada ya kuizindua Dar es salaam jana
Mkurugenzi Msaididi toka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bi. Vick Mwakasege akionesha katiba aliyozindua
Mkurugenzi Msaididi toka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bi. Vick Mwakasege Katiba mweka hazina wa Jerusalem Group Bi, Rose Mkisi baada ya kuizindua Dar es salaam jana
Baadhi ya wanachama wakiburudika na mziki wakati wa uzinduzi wa katiba hiyo
Ni Burudan Mwanzo Mwishooo
Kaimu Mwenyekiti Dr Asajile Mwakasole akitoa neno
No comments:
Post a Comment