Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, April 10, 2012

WASANII JUACALI, NATURE, FID Q, MANGWAIR WAFUNIKA NDANI YA DAR LIVE USIKU WA PASAKA

Msanii Juacali kutoka nchini Kenya, Juma Nature, Fid Q, Albert Mangwair na wengineo usiku wa Pasaka waliwarusha vilivyo wapenzi wa burudani katika Tamasha la Pasaka Spesho ndani ya Ukumbi wa maraha wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem, jijini Dar es Salaam, katika picha juu ni msanii Juacali kutoka nchini Kenya akiwapa burudani mashabiki waliofurika ndani ya Ukumbi wa Dar Live siku ya Pasaka.
Msanii wa HIP HOP , Farid Kubanda "Fid Q" akionyesha makali yake.
Watoto nao wakijiachia kwa raha zao.
Nyomi iliyokuwa inaipa sapoti shoo hiyo.
.Nature na kundi lake wakimwaga burudani jukwaani

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...