Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, April 9, 2012

WAZIRI BERNALD MEMBE AZINDUA ALBAM YA SOLOMON MUKUBWA "UTUKUFU KWA MUNGU" UWANJA WA TAIFA


Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe akiangalia albam ya Mwanamuzikiwa muziki wa injili Solomon Mukubwa inayokwenda kwa jina la (Utukufu wa Mungu)mara baada ya kuizindua rasmi jioni hii kwenye Tamasha la Pasaka linalofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, wanaoshuhudia tukio hilo kutoka kulia ni Alex Msana mwandaaji wa tamasha hilo, Solomon Mukubwa mwimbaji wa albam hiyo na Askofu Gamanywa.




Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe wa tatu kutoka kulia akielekea jukwaani kwa ajili ya kuzindua albam hiyo, kutoka kushoto ni Richard Kasesela, Askofu Gamanywa na kulia ni John Melele
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe akiongozwa na Mkurugenzi wa Msama Promotion kuelekea jukwaani kwa ajili ya kuzindua albam ya Solomon Mukubwa.
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe wa pili kutoka kulia akiongoza na na Alex Msama Mwandaaji wa Tamasha la Pasaka, kutoka ushoto ni Richard Kasesela Mwenyekiti wa kamati ya ushauri Madini na Askofu Gamanywa.
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe akisalimiana na mwanamuziki Emi Kosgei kutoka Kenya, kulia ni Alex Msama.
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe akisalimiana na waimbaji wa muziki wa injili kutoka kulia ni Christine Shusho, Upendo Nkone na Upendo Kirahiro
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe akizungumza na mashabiki wa muziki wa injili kabla ya kuzindua albam hiyo.
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe akizindua albam hiyo, kutoka kulia ni Alex Msama, Solomon Mukubwa, na John Melele wakishuhudia tukio hilo.
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe akitoa ahadi yake ya kuinunua shilingi milini 10 ambapo pia
Mh Bernald Membe akicheza na mke wake Dorkas Membe mara baada ya kuzindua albam hiyo
Mashabiki lukuki wakiwa katika uwanja wa taifa jioni ya leo
Mwimbaji Solomon Mukubwa akiimba jukwaani kabla ya kuzinduliwa rasmi kwa albam yake utukufu kwa mungu.
PICHA NA http://www.fullshangweblog.com/

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...