Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, October 5, 2013

WALIMU WAKOSA CHOO, WAJISAIDIA KWA JIRANI JIJINI MBEYA, MBUNGE DR. MWANJELWA, ACHANGIA UJENZI WA CHOO CHA WANAFUNZI


Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya,(CCM) Dr. Mary Mwanjelwa, akizungumza na wazazi wa wanafunzi wa shule ya Msingi Airport, Jijini Mbeya ambako alichangia mifuko 20 ya Saruji kwa ajili ya ujenzi wa choo cha wanafunzi kama alivyoombwa na uongozi wa shule hiyo.
 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa(kushoto), akikabidhi mifuko 20 ya saruji kwa uongozi wa shule ya Msingi Airport, Jijini Mbeya kwa ajili ya ujenzi wa vyoo vya wanafunzi wa shule hiyo kama alivyoombwa na uongozi wa shule hiyo.
 Kulia ni diwani wa kata ya Iyela Jijin Mbeya, ndugu Charles(Chadema), akisalimiana na Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya(CCM), Dr. Mary Mwanjelwa alipofika katika shule ya Msingi Airport, shule ambayo ni pacha wa shule ya Msingi Pambogo, ambayo alisoma mwana mziki nguli, Tabia Mwanjelwa, ambaye ni shangazi wa Mbunge, Dr. Mary Mwanjelwa.
 Wanafunzi hoyeeeeeeeeeee.......

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...