Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, October 6, 2013

WAZIRI WA FEDHA DKT WILLIAM MGIMWA AWASILI WASHINGTON DC


Juu na chini ni Waziri wa fedha na Uchumi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.  William Mgimwa akilakiwa na Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. Liberata Mulamula mara tu alipowasili leo Jumamosi Oktoba  5, 2013 kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia. Mhe. Mgimwa anaongoza ujumbe wa Tanzania kuhudhuria mikutano ya mwaka ya Benki ya Dunia inayoanza Jumatatu Oktoba 7,  hadi 12, 2013  jijini Washington, DC

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...