Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, July 1, 2014

SEFUE ATEMBELEA KITUO CHA TAIFA CHA UTUNZAJI KUMBUKUMBU (NRC) DODOMA


 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Y. Sefue akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Kituo cha Taifa cha Utunzaji  Kumbukumbu (NRC) Dodoma leo (jana).
 Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakimsikiliza Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Y. Sefue  (hayupo pichani) katika Kituo cha Taifa cha Utunzaji Kumbukumbu (NRC) Dodoma.
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Y. Sefue (katikati), akiwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. George D. Yambesi (wa kwanza kulia) katika moja ya sehemu za kuhifadhi kumbukumbu katika Kituo cha Taifa cha Utunzaji Kumbukumbu, kushoto kabisa anayetoa maelezo  ni Mkurugenzi Msaidizi Utumishi Bw. Joseph Ndauka.
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Y. Sefue (kushoto), pamoja na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. George D. Yambesi wakipitia moja ya jalada lililofunguliwa mwanzoni mwa miaka ya 60.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...