Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, April 4, 2012

breking news soko la samaki feri laungua moto

Wafanyakazi wa kikosi cha zima moto na uokoaji cha halmashauri ya jiji la Dar es salaam kikifanya kazi ya kuzima moto uho uliotokana na mvuke wa mafuta ya kupikia samaki leo
Wafanyakazi wa kikosi cha zima moto na uokoaji cha halmashauri ya jiji la Dar es salaam kikifanya kazi ya kuzima moto uho uliotokana na mvuke wa mafuta ya kupikia samaki leo
Mfanyakazi wa kikosi cha zima moto na uokoaji cha halmashauri ya jiji la Dar es salaam kikifanya kazi ya kuzima moto akisaidiwa na mmoja wa wafanya biashara wa soko hilo moto hu uliotokana na mvuke wa mafuta ya kupikia samaki leo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...