Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, April 3, 2012

KONYAGI WASAIDIA AKINAMAMA MBEYA


Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleriers Limitedi (TDL) Bw. David Mgwasa, akimkabidhi baadhi ya Vyerehani 26 vyenye thamani ya milioni. 7.5 kwa Mbunge wa viti Maalumu Mkoa wa Mbeya Dkt. Mary Mwanjelwa, Dar es salaam jana kwa ajili ya kusaidi vikundi vya akina mama wa mkoa huo anaeshughudia kushoto ni Meneja wa kinywaji cha Konyagi Bi. Martha Bangu

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...