Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, April 5, 2012

MSHINDI MPYA WA PROMOSHENI YA Tick Tock APATIKANA!


Mkuu wa Kibiashara Zanzibar Mohammed Mussa akimkabidhi Mshindi wa Milioni 1 wa promosheni mpya ya Zantel iitwayo Tick Tock Suleiman Vuia zawadi yake. Tick Tock ni promosheni mpya kutoka Zantel ambapo mteja akiongeza salio la TSH 1000 na kuendelea anaweza kujishindia milioni 1 pamoja na simu za Nokia zinazotolewa kila saa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...