Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, April 9, 2012

TIGO YADHAMINI BONANZA LA PASAKA VIWANJA VYA POSTA KIJITONYAMA

Rais wa bendi ya Mashujaa musica Chales Gablie Chaz Baba akiimba wakati wa Bondanza la Pasaka lililodhaminiwa na Kampuni ya Tigo lililofanyika katika viwanja vya Pasta Dar es salaam jana
Viuno Viuno Viuno
Mwimbaji wa Mashujaa Music FFU akiimba
Waimbaji wa bendi ya Mashujaa watoto wa mama Sakina wakicheza jana wakati wa bonanza lililozaminiwa na Kampuni ya Tigo lililofanyika Katika Viwanja vya Posta KIjitonyama Dar es salaam jana
Waimbaji wa bendi ya mashujaa wakiimba wakati wa Bonanza la Pasaka jana
Wapigaji wa vyombo wa bendi ya Mashujaa MUsica wakiwajibika
Baadhi ya Maofisa wa Kampuni ya Tigo wakipata burudani zilizokuwa zikitolewa na bendi ya Mashujaa jana

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...