Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, May 7, 2012

MKUTANO WA JUMUIYA YA MADOLA WAENDELEA NCHINI

Katibu Mkuu wa CCM,Wilson Mkama akizungumza na wana habari

Mbunge wa Ubungo Mh John Mnyika akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa jumuiya ya madola kujadili maswala ya Bunge, Serikali pamoja na vyama vya upinzani

Mgeni Mwalikwa katika Mkutano wa jumuiya ya Madola aliyekuwa Rais wa Nchi ya Ghana Bw. Jerry Rawlings kushoto akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo katika mkutano wa jumuiya ya madola kujadili Bunge Serikali pamoja na vyama vya upinzani katika jumuiya hiyo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...