Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, May 2, 2012

REDDS MISS UKONGA WAMELEMETA


Warembo wa Redds Miss Ukonga katika kambi yao ya mazoezi iliyopo Ukonga Hill Tech Bar maeneo ya Minazi Mirefu au maarufu Banana wakiwa kwenye mazoezi ya pamoja kujiandaa na siku ya fainalijumamosi hii 05/05/2012 ambapo mshindi anatarajiwakuungana na washindi toka vitongoji vingine watakutana katika Kambi ya Redds Miss kanda ya Ilala kabla ya kwenda kushiriki shindano la taifa la Redds Miss Tanzania 2012.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...