Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, May 16, 2012

SAID BONGE WA CLOUDS APANDA MIGOMBA KATIKA BARABARA YA MWANANYAMALA BAADA YA MANISPAA YA KIONONDONI KUITELEKEZA


Mfanyakazi wa Radio Clauds FM, Said Mohamed 'Said Bonge' akipanda migomba kwenye mashimo ya barabara ya Mwananyamala Hospitali Dar es Salaam leo huku gari likipiata kando yake. Bonge alisema amechukua uwamuzi huo baada ya wahusika kushindwa kuyafukia mashimo hayo ambayo yamekuwa yakileta usumbufu kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Said Bonge akiendelea na shughuli ya kupanda migomba katika barabara ya Mwananyamala ambayo imeharibika vibaya huku wahusika wakiifumbia macho bila kuchukua hatua zozote za kuikarabati.

1 comment:

  1. just fix the damn pothole, nobody can do anything without publicity or getting famous in the process. This is the problem, not the government!!

    ReplyDelete

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...