Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, May 8, 2012

Ziara ya Dk. Shein Kusini Unguja


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiangalia mashine za uchunguzi wa maradhi mbali mbali ya Binadamu katika kituo cha Afya cha mwera Ponge baada ya kuweka jiwe la msingi jana alipokuwa katika ziara ya kuona maendeleo ya miradi mbali mbali katika Mkoa wa kusini Unguja. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Maliasili Affani Othman Maalim,alipotembelea maandalizi ya kilimo cha Mpunga wa umwagiliaji huko Bonde la Uzini Wilaya ya Kati Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kama ishara ya uwekaji wa jiwe la msingi kituo cha Afya cha Mwera Pongwe jana,akiwa katika ziara ya Wilaya ya Kati Unguja kutembelea Maendeleo ya ya Miardi mbali mbali ya kijamii katika Mkoa wa Kusini Unguja.ujenzi huo umefadhiliw na mwekezaji kutoka nchini Italy Dominic Palumbo.[Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM Taifa,Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kama ishara ya uwekaji wa jiwe la msingi Afisi ya CCM ya  Wadi ya Koani shehia ya  Kidimni,wilaya ya Kati Unguja jana, alipokuwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi, Mkoa wa Kusini Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM Taifa,Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi cheti cha utambulisho kwa wananchi wa jimbo la Koani Makada wa CCM, Salmini Awadh,mwakilishi wa Jimbo la Magomeni, akiwa ni miongoni mwa  waliochangia kufanikisha matembezi ya mshikamano,sherhe hizo zilifanyika jana huko Afisi ya CCM Koani shehia ya kidimni Wilaya ya Kusini Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM Taifa,Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi cheti cha utambulisho kwa wananchi wa jimbo la Koani Makada wa CCM,Bi Naila Jidawi,akiwa ni miongoni mwa  waliochangia kufanikisha matembezi ya mshikamano,sherhe hizo zilifanyika jana huko Afisi ya Wadi ya CCM Koani shehia ya kidimni Wilaya ya Kusini Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM Taifa,Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na wananchi na wanachama wa CCM wa Jimbo la Koani,katika sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi Afisi ya wadi ya CCM Koani shehia ya kidimni Wilaya ya Kusini Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...