Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, April 16, 2011

MADA MAUGO AMDUNDA JAPHET KASEBA RAUNDI YA SABA

Mwamuzi John Chagu akiwamulu mabondia Japhet Kaseba na Mada Maugo kupigana
mmoja wa mashabiki wa kaseba aliyekuwa akitaka kuleta fujo akitulizwa na maofisa usalama Kaseba akiwa amevua glove John Chagu akitangaza mshindi baada ya kaseba kuingia uringoni raundi ya saba akiwa amevua glove hivyo kumtangaza maugo kuwa bingwa wa pambano hilo







Yohana Robart akiwa amevishwa taji lake










No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...