Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, April 25, 2011

MASHINDANO YA SAFARI LAGER DARTS AFRIKA MASHARIKI YAMALIZIKA

Mratibu wa michezo ya DARTS Innocente Melleck akipanga zawadi mbalimbali za vikombe vilivyotolewa kwa washiriki
Mratibu wa michezo ya DARTS Innocente Melleck akipanga zawadi mbalimbali za vikombe vilivyotolewa kwa washiriki
Wachezaji kutoka Kenya wakishangilia baada ya kuimba wimbo wao wa Taifa
Wachezaji wa Kenya wakiimba wimbo wa Taifa

Wachezaji wa Uganda wakimba wimbo wa Taifa wakati wa Fainali
Mchezaji wa mchezo wa vishare, Julieth Kantumbare kutoka, Uganda akirusha wakati wa mashindano ya Afrika Mashariki yaliyomalizika Dar es salaam mwishoni mwa wiki ambayo yalizaminiwa na kampuni ya bia Tanzania (TBL) kupitia bia ya Safari
Mchezaji wa mchezo wa vishare, Dinah Amoding kutoka, Uganda akirusha wakati wa mashindano ya Afrika Mashariki yaliyomalizika Dar es salaam mwishoni mwa wiki ambayo yalizaminiwa na kampuni ya bia Tanzania (TBL) kupitia bia ya Safari

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...