Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, July 28, 2011

KATIBU WA NEC OGANAIZESHENI ASHA ABDALLAH JUMA AJULIA HALI MAJERUHI WA BASI LA HOOD NA KUKAGUA UHAI WA CHAMA MOROGORO

Katibu wa NEC, Oganaizesheni CCM, Asha Abdallah Juma akimpa pole Beatrice Mjenga ambaye ni mmoja wa majeruhi wa ajali ya basi Mikumi, Morogoro
Katibu wa NEC, Oganaizesheni Asha Abdallah Juma, akisalimia viongozi na wanachama wa CCM mkoa wa Morogoro kabla ya kuwahtubia katika ukumbi wa Vijana kwa ajili ya kuimarisha uhai wa Chama
Katibu wa NEC, Oganaizesheni Asha Abdallah Juma akihutubia viongozi wa CCM mkoa wa Morogoro. Wapili kulia ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Morogoro mjini Fikiri Juma.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...