Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, July 27, 2011

WAZIRI WA MAWASILIANO RWANDA AZURU ZANTEL


Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya yeye na Waziri wa Teknolojia, Habari na Mawasiliano wa Rwanda, Dk. Ignace Gatare (katikati) kufanya ziara ya kikazi kukagua mitambo ya mkonga wa mawasiliano wa EASSy uliopo Makao Makuu ya Zantel jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Afisa Mkuu wa Biashara wa Zantel, Norman Moyo. Afisa Mkuu wa Kiufundi wa Zantel, Moncef Mettiji (kushoto) akibadilishana mawazo na Waziri wa Teknolojia, Habari na Mawasiliano wa Rwanda, Dk. Ignace Gatare wakati alipofanya ziara ya kikazi kukagua mitambo ya mkonga wa mawasiliano wa EASSy uliopo Makao Makuu ya Zantel jijini Dar es Salaam jana.
Afisa Mkuu wa Biashara wa Zantel, Norman Moyo (aliyenyoosha mkono kulia) akitoa mada kuhusu mkongo wa mawasiliano wa EASSy iliopo kwenye makao makuu kampuni hiyo. www.johnbadi.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...