Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, July 1, 2011

MKURUGENZI WA BENKI YA POSTA TANZANIA ATAMBULISHWA KWA WAANDISHI WA HABARI

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Posta Tanzania Bw. Sabasaba Moshingi



Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Posta Tanzania Bw. Sabasaba Moshingi (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuteuliwa na rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kushika wadhifa huo kulia ni Mwenyekiti wa Bondi wa Benki hiyo Prof.Lettice Kinunda.(Picha na Mpigapicha Wetu)








Mkurugenzi akizungumza leo


Ofisa wa Bank ya Posta Noves Moses akiwa katika mkutano huo leo


Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Posta Tanzania Bw. Sabasaba Moshingi na Mwenyekiti wa Bondi wa Benki hiyo Prof.Lettice Kinunda waliokaa wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi ya banki hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Posta Tanzania Bw. Sabasaba Moshingi (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuteuliwa na rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kushika wadhifa huo kulia ni Mwenyekiti wa Bondi wa Benki hiyo Prof.Lettice Kinunda.(Picha na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...