Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, July 21, 2011

WAZIRI MKUU NA MATUKIO BUNENI DODOMA L EO


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Bunda na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais , Siasa na Uhusiano wa Jamii, Stephen Wasira (kushoto), Mkamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Profesa Idris Kikula (wapili kushoto), Mbunge wa Viti Maalum, Martha Mlata na Waziri wa Ujenziri wa Ujenzi, John Magufuli, kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 20,2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Magdalena Sakaya kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 20,2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
http://fullshangwe.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...