Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, February 26, 2011

MABONDIA WA MKOA WA ILALA WAFANYA MAZOEZI YA MWISHO

Mabondia wa Timu ya Mkoa wa Ilala wakijifua mara ya mwisho kabla ya mashindano ya klabu bingwa yanayoanza kesho kushoto ni Dogomusa Mohamedi na Omary Bay
Shomari Swalehe na Pazi Mvula wakichuana katika mazoezi


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...