Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, February 28, 2011

MASHINDANO YA NGUMI TAIFA YAMEFUNGULIWA









Bondia wa Mkoa wa Ilala Edward Jackson (kulia) akioneshana kiwango cha kutupa masumbwi na Mohamedi Abdalah wa Arusha wakati wa mashindano ya klabu bingwa taifa yanayofanyika uwanja wa ndani wa taifa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...