Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, February 22, 2011

WABUNGE WA AFRIKA MASHARIKI WATEMBELEA KAMPUNI YA ZANTEL

Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki Kamati inayoshughulikia Biashara na Uwekezaji wakiwa Makao Makuu ya Kampuni ya Simu ya Zantel kujua jinsi inavyofanya shughuli zake Dar es salaam








Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel Zanzibar Bw. Nahaat Mahfoudh akizungumza wakati wa Kamati ya Bunge la Afrika Mashariki linaloshughulikia Biashara na Uwekezaji walipotembelea makao Makuu ya Kampuni hiyo Dar es salaam jana kujua shughuli mbalimbali za Kampuni hiyo














No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...