Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, February 2, 2011

NMB YATOA MSAADA WA MABATI SHULE YA MSINGI SINZA

Meneja Mwandamizi Huduma kwa Biashara ya Serikali(NMB) Bi. Domina Feruzi (katikati) akikabidhi msaada wa mabati kwa Afisa Elimu kata ya Sinza Bi. Phoibe Ileta kwa niaba ya shule za Msingi za Sinza na Sinza Mashujaa. Kushoto ni Mwenyekiti wa Shule ya Msingi Sinza Bw. Flavian Mgori.

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Sinza wakitoa burudani ya ngoma.

Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB.

Wanafunzi wa Shule za Msingi za Sinza na Sinza Mashujaa zilizopokea msaada wa mabati hayo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...