Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, February 14, 2011

Simba yaichapa Elan Mitsuodje 4.2

Sasa kukwana na TP Mazembe ya Congo DRC
Mshambuliaji wa Simba, Rashid Gumbo, akiumiliki mpira dhidi ya mchezaji wa Elan Mitsuodje ya Comoro, Ali Ahmed Ali, timu hizo zilipomenyana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. ambapo Simba ilifdabikiwa kuilza Comoro mabao 4-2.
Kufuuatia matokeo hayo Simba imefuzu kucheza raundi ya pili ya michuano hiyo, Ambapo itapambana na TP Mazembe, ya Jamhri ya Kidemokrasi ya Congo, mwezi Machi mwaka huu mjini Dar es Salaam.
http://bashir-nkoromo.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...