Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, September 25, 2011

iP SPORTS YAKAMILISHA UTENGENZAJI WA JEZI ZA MICHEZO


Katibu mkuu wa iP Sports club iliyo na maskani mitaa Msasani Jijini Dar es Salaam-Dimo Debwe akiwaonyesha jersey Kwa wadau,wapenzi na Mashabiki wa Club iyo ili kuchangia mawazo yao katika Jersey hiyo. image Profession Sports Club iliyotambuliwa na kusajiliwa na Balaza la Michezo Tanzania (BMT) ni club ya michezo mbali mbali ikiwemo Football,Video Game,Swimming,Longtennis and Short tennis,Bicycle n.k.. kwa upande Mpira wa miguu tayari tumeshacheza mechi za kirafiki na Simba B, Azam B, Tanzania Bloadcasting Coproration (TBC), Independent Television-IPP Sports Club, Sahara Communications-Star TV na nyingine nyingi sana. Picha nikiwa na mtoto Machachari Ahmed Mohamed Omar,

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...