Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho kikwete akiteta jambo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,wakati wa Dua maalum ya kuwaombea wananchi waliofariki katika ajali ya Meli ya Mv Spice Islander katika viwanja vya Maisara Mjini Zanzibar. (Picha na Ramadhan Othman wa Ikulu)
PICHA NA YUSSUF SIMAI MAELEZO ZANZIBAR.
No comments:
Post a Comment