Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, September 6, 2011

Nizar Khalfan AKUTANA NA Rais Dkt.Jakaya Kikwete




Mtanzania anayecheza Soka ya kulipwa katika timu ya White Caps ya jijini Vancouver Canada Nizar Khalfan akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Kikwete jezi ya timu yake wakati alipokwenda kumsalimu na kumshukuru ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni.(picha na Freddy Maro)


Mtanzania anayecheza Soka ya kulipwa katika timu ya White Caps ya jijini Vancouver Canada Nizar Khalfan akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Kikwete jezi ya timu yake wakati alipokwenda kumsalimu na kumshukuru ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni.(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...