Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, September 12, 2011

SBL yazindua mpango wa Maombi kwa ajili ua fadhili wa masomo kupitia EABL Foundation 2011

Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasilino wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Teddy Mapundaakionesha fomu ambayo wa wanafunzi wanaotaka kupatiwa ufadhili wa kusomeshwa kupitia kampuni hiyo chini ya taasisi ya EABL Foundation kwa mwaka 2011 kwa wanahabari jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa mpango huo wa maombi ya ufadhili wa masomo ya elimu ya juu nchini.
Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasilino wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Teddy Mapunda (katikati) akizungumza katika mkutano na waandishi wa Habari juu ya kuanza mchakato wa kupata wanafunzi ambao SBL itawapa udhamini wa kimasomo katika Vyuo vya elimu ya Juu nchini. Pamoja nae kushoto ni Meneja Mahusiano ya Jamii wa SBL,Nandi Mwiyombela na Meneja Mawasilano ya ndani ya SBL Imani Lwinga.
Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Teddy Mapunda akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo juu ya kutangaza kuanza kwa kupokea maombi ya wanafunzi wasio na uwezo ili kupata ufadhili wa kampuni hiyo katika vyo vya Elimu ya Juu nchini.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...