Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, December 31, 2016

MABONDIA VICENT MBILINYI NA MRISHO ADAM KUONESHANA UMWAMA LEO MANZESE


Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akitunishiana misuli na Mrisho Adam baada ya kupima uzito jana kwa ajili ya mpambano wao leo katika ukumbi wa manyara park manzese Picha na SUPER D BOXING NEWS
bondia Mrisho Adam akipima uzito kushoto ni Vicent Mbilinyi
Bondia Vicent Mbilinyi akipima Uzito

CHEKA AFUNGIWA MIAKA MIWILI NA TPBC KWA KUMKIMBIA DULLA MBABE



Rais wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC), Chaurembo Palasa akizungumza na waandishi wa habari jana, Dar es Salaam,  kuhusu bondia Francis Cheka ambaye amefungiwa miaka miwili pamoja na kulipa faini ya Shilingi 500,000. Kulia ni Mwenyekiti Kamati ya Ufundi TPBC, Ally Bakari na katikati Katibu Msaidizi wa TPBC, Mchatta Michael

KAMISHENI ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC), imemfungia bondia Francis Cheka kujihusisha na ngumi kwa miaka miwili pamoja na faini ya Sh 500,000 ikiwa ni siku moja tangu bondia huyo  atangaze kustaafu.

Juzi Cheka alitangaza kustaafu kucheza ngumi akidai kwa muda mrefu amekuwa akipigana bila mafanikio kutokana na kudhulumiwa na waandaaji wa mapambano au kulipwa tofauti na makubaliano pamoja na misukosuko anayofanyiwa na wapinzani wake.

Cheka ilikuwa apande ulingoni Desemba 25 mwaka huu kupigana na Abdallah Pazi ‘Dulla Mbabe’ lakini hakufanya hivyo akidai kumaliziwa kwanza fedha zake.

Pambano hilo liliandaliwa na bondia Siraji Kaike. Mwanzoni mwa wiki hii bondia huyo alikamatwa na Polisi Morogoro kwa kosa hilo la kuchukua nusu ya fedha na kutopanda ulingoni ambapo alishikiliwa kwa saa kadhaa kabla ya kuachiwa.

Akizungumza na wandishi wa habari jana, Rais wa TPBC Chaurembo Palasa, alisema Cheka amefungiwa kutokana na  kutofika ulingoni kwenye pambano hilo la siku ya Krismasi.

“Cheka aliingia makubaliano na promota Siraji Kaike ya kupigana na Dulla Mbabe, lakini hakufika kwenye pambano jambo ambalo halileti picha nzuri kwenye ngumi za kulipwa hivyo tumemfungia pamoja na faini juu,” alisema Palasa.

Katika mkutano wake huo na waandishi wa habari, Palasa aliongozana na Mwenyekiti Kamati ya Ufundi wa TPBC, Ally Bakari na Katibu Msaidizi wa kamisheni hiyo Mchatta Michael ambao walilaani kitendo cha Cheka kutopanda ulingoni kwani kilisababisha promota Kaike kupata hasara na pia kinarudisha nyuma ngumi kwani wanaonekana wababaishaji.

Kwa mujibu wa Cheka, alipaswa kulipwa Sh milioni tisa, lakini hadi wakati wa kupima uzito alikuwa amepewa Sh milioni tatu pekee ndio maana hakupima uzito kwani kisheria ukipima uzito umekubali kucheza.

Baada ya kutangaza kustaafu Cheka amesema anajielekeza kufanya biashara zake na ameahidi ushirikiano kwenye mchezo wa ngumi ili kukuza na kuendeleza mchezo.

Akizungumzia kufungiwa kwake Cheka alisema hatambui maana yeye si mwanachama wa TPBC.

“Bondia wa kulipwa hana chama wala mwanachama, kuna mkataba walifoji (kughushi) saini yangu waliuona? au wanahukumu upande mmoja, kwa nini wasinitafute wakanisikiliza na mimi? Mimi nadhani sasa viongozi waende wakosomee uongozi, serikali itusaidie hili,” alisema.

BONDIA VICENT MBILINYI

BONDIA VICENT MBILINYI

BONDIA VICENT MBILINYI KG 63

 BONDIA VICENT MBILINYI KG 63

BONDIA VICENT MBILINYI KG 63


BONDIA VICENT MBILINYI KG 63

BONDIA OMARI KIMWERI AWAMWAGIA VIFAA MABONDIA WATANZANIA


Mwakilishi wa Kimweri Promotion Nchini Tanzania Yuyuph Mnyeto kushoto akimkabidhi vifaa vya ndondi kwa kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' baada ya kupokelewa na kukabidhiwa kwa wadau mbalimbali nchini vifaa hivyo vimetolewa na Bondia Mtanzania anaefanya shughuli zake Victoria, Australia, Omari Kimweri picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Selemani Kidunda kushoto kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' na Mwakilishi wa Kimweri Promotion Nchini Tanzania Yuyuph Mnyeto kushoto wakiwa katika picha wa pamoja baada ya kukabidhi vifaa vilivyotoka kwa bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake Australia
 picha na SUPER D BOXING NEWS




Mwakilishi wa Kimweri Promotion Nchini Tanzania Yuyuph Mnyeto kushoto akimkabidhi vifaa vya ndondi kwa kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' baada ya kupokelewa na kukabidhiwa kwa wadau mbalimbali nchini vifaa hivyo vimetolewa na Bondia Mtanzania anaefanya shughuli zake Victoria, Australia, Omari Kimweri picha na SUPER D BOXING NEWS

Monday, December 19, 2016

MABONDIA VICENT MBILINYI NA IDD MKWELA WAENDELEA KUJIFUA CHINI YA USIMAMIZI WA SUPER D COACH


Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimnowa bondia Vicent Mbilinyi kwa ajili ya mpambano wake na Mrisho Adamu utakaofanyika katika ukumbi wa Manyara Park desemba 31 mpambano wa raundi kumi Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Iddi Mkwela wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D Coach Uhuru GYM Kariakoo Mbilinyi anajiandaa na mpambano wake na Mrisho Adamu utakaofanyika Desemba 31 katika ukumbi wa Manyara Park Manzese Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Iddi Mkwela kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi Mbilinyi anajiandaa na mpambano wake Desemba 31 kupambana na Mrisho Adamu Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Iddi Mkwela kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi Mbilinyi anajiandaa na mpambano wake Desemba 31 kupambana na Mrisho Adamu Picha na SUPER D BOXING NEWS
KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' KATIKATI AKIWA NA MABONDIA IDDI MKWELA KUSHOTO NA VICENT MBILINYI BAADA YA MAZOEZI KATIKA KAMBI YA SUPER D COACH UHURU GYM
KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' KATIKATI AKIWA NA MABONDIA IDDI MKWELA KUSHOTO NA VICENT MBILINYI BAADA YA MAZOEZI KATIKA KAMBI YA SUPER D COACH UHURU GYM
SUPER D COACH KULIA AKIWA NA MABONDIA VICENT MBILINYI KULIA NA IDDI MKWELA KATIKATI

Friday, November 25, 2016

BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' APAA ,Berlin

Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akiwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere kwa ajili ya safari yake ya kwenda Huxleys, Kreuzberg, Berlin kupambana novemba 29 mpambano wa marudio na bondia Zapir Rasulov baada ya  lile la kwanza kushinda kwa point kule nchini Panama City,  Panama na kurudi na ubingwa kulia ni msaidizi wa bondia huyo Joe Anena  Picha na SUPER D BOXING NEWS
Msaidizi wa  Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' JoeAnena kushoto wakiwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere kwa ajili ya safari yao ya kwenda Huxleys, Kreuzberg, Berlin kupambana novemba 29 mpambano wa marudio na bondia Zapir Rasulov baada ya  lile la kwanza kushinda kwa point kule nchini Panama City,  Panama na kurudi na ubingwa  Picha na SUPER D BOXING NEWS

 
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi Nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati alipo msindikiza bondia huyu uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere kwa ajiri ya safari yake ya kwenda Huxleys, Kreuzberg, Berlin kupambana novemba 29 mpambano wa marudio na bondia Zapir Rasulov baada ya  lile la kwanza kushinda kwa point kule nchini Panama City,  Panama na kurudi na ubingwa  Picha na SUPER D BOXING NEWS

Msaidizi wa  Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' Joe Anena kushoto akizungumza na bondia huyo kabla awajapanda pipa kwenda Berlin
Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwa na bondia Ibrahimu Class kushoto na Joe Anena katika uwanja wa ndege wa kimataifa kwa ajili ya safari ya Berlin ya bondia huyo anaenda kuzipiga mpambano wa marudiano na na bondia Zapir Rasulov baada ya  lile la kwanza kushinda kwa point kule nchini Panama City,  Panama na kurudi na ubingwa  Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwa na bondia Ibrahimu Class kushoto na Joe Anena katika uwanja wa ndege wa kimataifa kwa ajili ya safari ya Berlin ya bondia huyo anaenda kuzipiga mpambano wa marudiano na na bondia Zapir Rasulov baada ya  lile la kwanza kushinda kwa point kule nchini Panama City,  Panama na kurudi na ubingwa  Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi Nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati alipo msindikiza bondia huyu uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere kwa ajiri ya safari yake ya kwenda Huxleys, Kreuzberg, Berlin kupambana novemba 29 mpambano wa marudio na bondia Zapir Rasulov baada ya  lile la kwanza kushinda kwa point kule nchini Panama City,  Panama na kurudi na ubingwa  Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwa na bondia Ibrahimu Class kushoto na Joe Anena katika uwanja wa ndege wa kimataifa kwa ajili ya safari ya Berlin ya bondia huyo anaenda kuzipiga mpambano wa marudiano na na bondia Zapir Rasulov baada ya  lile la kwanza kushinda kwa point kule nchini Panama City,  Panama na kurudi na ubingwa  Picha na SUPER D BOXING NEWS

Saturday, October 22, 2016

IDDI MKWELA NA ISSA NAMPEPECHE WAPIMA UZITO KUZIPIGA KESHO OCTOBER 23 CCM MWIJIMA MWANANYAMALA


 

Kocha wa wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D ' katikati akiwa na mabondia Iddi Mkwela kushoto na Issa Nampepeche baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa  raundi kumi utakaofanyika siku ya jumapili ya October 23 katika ukumbi wa CCM Mwijuma Mwananyamala Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Iddi Mkwela kushoto akitunishiana misuli na Issa Nampepeche baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili ya Ocober 23 katika ukumbi wa CCM Mwijuma Mwananyamala Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Iddi Mkwela kushoto akitunishiana misuli na Issa Nampepeche baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili ya Ocober 23 katika ukumbi wa CCM Mwijuma Mwananyamala Picha na SUPER D BOXING NEWS

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini katikati Rajabu Mhamila 'Super D ' akimtia gumi la kolomelo kocha wa ISSA Nampepeche  Ibrahimu Kamwe wakati wa upimaji uzito baada ya kokosana kauli kila mmoja akidai bondia wake zaidi Super D anamnowa Iddi Mkwela na Kamwe anamfundisha Nampepeche 


Kocha wa wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D ' katikati akiwa na mabondia Iddi Mkwela kushoto na Issa Nampepeche baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa  raundi kumi utakaofanyika siku ya jumapili ya October 23 katika ukumbi wa CCM Mwijuma Mwananyamala Picha na SUPER D BOXING NEWS



Bondia Iddi Mkwela akihojiwa na wana habari nyuma ni kocha wake Rajabu Mhamila 'Super D' 
Bondia Mohamed Kisua akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake kesho jumapili

mohamedi kisua
bondia Pius Kazaula akipima uzito
PIus Kazaula
Pius Kazaula
Bondia Iddi Mkwela akipima uzito kushoto ni mpinzani wake Issa Nampepeche
Bondia Rojas Masamu akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Haidal Raju
Rojas Masamu

Tuesday, October 18, 2016

PIUS KAZAULA KUZIPIGA NA IDD PIALALI NOVEMBA 12 TASUBA BAGAMOYO UBINGWA WA AFRIKA


Mabondia Pius Kazaula na Idd Pialali wakitunishiana misuli baada ya kusaini mpambano wao wa ubingwa wa U.B.O Afrika uzani wa KG 66 utakaofanyika katika ukumbi wa TASUBA Bagamoyo mpambano utakuwa wa raundi 12 utapigwa novemba 12 Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Pius Kazaula wa morogoro kushoto na Idd Pialali wa Bagamoyo wakitoleana macho wakati wa kutangaza mpambano wao wa ubingwa wa U.B.O  Afrika raundi 12  utakaofanyika november 12  katika ukumbi wa TASUBA Bagamoyo Mokoa wa Pwani Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Pius Kazaula kushoto na Idd Pialali wakiwa katika pozi la kutunishiana misuli baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga novemba 12  mpambano wa ubingwa wa U.B.O Afrika utakaofanyika katika ukumbi wa Tasuba Bagamoyo Mkoa wa Pwani Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Pius Kazaula na Idd Pialali wakitunishiana misuli baada ya kusaini mpambano wao wa ubingwa wa U.B.O Afrika uzani wa KG 66 utakaofanyika novemba 12 katika ukumbi wa TASUBA Bagamoyo mpambano utakuwa wa raundi 12 Picha na SUPER D BOXING NEWS
BONDIA ROJAS MASAM
BONDIA EMILIO NORFAT

BONDIA IDD PIALALI

BONDIA PIUS KAZAULA



Bondia Pius Kazaula wa Morogoro kushoto akisaini mkataba wa kuzipiga novemba 12 na Idd Pialali kuwania ubingwa wa U.B.O Afrika mpambano utakaopigwa kwa raundi 12 katikati ni  Katibu Mkuu wa P.S.T Anthony Rutagamba Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Idd Pialali wa Bagamoyo kulia akisaini mkataba wa kuzipiga novemba 12 na Pius Kazaula wa Morogoro kuwania ubingwa wa U.B.O Afrika mpambano utakaopigwa kwa raundi 12 katikati ni  Katibu Mkuu wa P.S.T Anthony Rutagamba Picha na SUPER D BOXING NEWS
MABONDIA PIUS KAZAULA WA MOROGORO KUSHOTO NA IDD PIALALI WA BAGAMOYO WAKIPITIA MIKATABA YAO KABLA YA KUSAINI KUZIPIGA NOVEMBA 12 BAGAMOYO MKOA WA PWANI


Na Mwandishi Wetu
MABONDIA Pius Kazaula wa Morogori na Idd Pialali wa Bagamoyo mkoa wa Pwani wamesaini mkataba wa kuzipiga Novemba 12  katika ukumbi wa chuo cha sanaa Bagamoyo TASUBA watazipiga kugombania ubigwa wa U.B.O Afrika mpambano wa raundi 12 
akizungumza wakati wa utiaji saini mpambano uho  Katibu Mkuu wa P.S.T Anthony Rutagamba amesema wameamua kuwawekea ubingwa wa Afrika kwa kuwa mabondia hawo viwango vyao vinafanana kwa kila kitu mana katika boxrec wote wana point 5 pamoja na nyota moja hivyo ni mabondia wa kuwaendeleza kwa sasa kwa kuwa ndio vijana tunao wategemea kwa kipindi hiki

aliongeza kwa kusema mabondia hawo watacheza katika uzito wa paund 147 sawa sawa na kilo glam 66 ubingwa wa U.B.O Afrika ambapo Super visor wa mpambano uho atakuwa Josmo Mlundwa

aliongeza kwa kusema kuwa mabondia wengine walioingia mikataba kwa ajili ya kucheza mchezo wa utangulizi siku hiyo ni Emilio Norfat atakaezipiga na Rojas Masam mpambano wa raundi 6 katika uzito wa kg 61


Katika Mchezo huo kutakua na Uuzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutambua sheria zake mbalimbali zitakazokua zikisambazwa na kocha  'Super D' kwa ajili ya kuwapa mabondia mbalimbali mbinu za mchezo na mashabiki kujua sheria za masumbwi. 


Ndani yake wakiwemo mabondia Floyd Mywether, Manny Paquaio, Amiri Khani, Mohamedi Ali, Mike Tayson David Haye na wengine ambapo kutakuwa na matukio ya mazoezi yao katika mataifa yao ikumbukwe kuwa ni mabingwa wa dunia. na kutakuwa na mapambano makubwa matano ya utangulizi
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...