Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, October 11, 2021

BONDIA RAMADHANI MIGWEDE ASAINI KUZIPIGA NA HABIBU PENGO OKTOBA 12 AWAITA MASHABIKI WA CHANIKA KUJITOKEZA SIKU HIYO

NA MWANDISHI WETU BONDIA RAMADHANI MIGWEDE amesaini mkataba wa kuzipiga na Habibu Pengo Novemba 12 mpambnano wa raundi kumi utakaofanyika jijini Dar es salaam akizungumza na wahandishi wa habari kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa Migede kasaini mkataba uho mbele ya katibu wa kamisheni ya ngumi za kulipwa Yahya Poli mpambano utakaofanyika mwanzoni mwa mwezi ujao bondia huyo mwenye maskani yake chanika nje kidogo ya jiji la Dar es salaam atapambana na Pengo mpambano ambao utakuwa autabiliki kwani mabondia wote hawo wana uzoefu mkubwa katika mchezo wa masumbwi mbali na uzoefu waliokuwa nao pia wamekuwa wakiwapa vipondo wapinzani wao kadri wakutanapo nao ulingoni ambapo bondia migwede hivi karibuni alimchakaza vibaya tena bila huruma bondia keis ally kwa k,o ya raundi za awali nae Pengo amekuwa tishio katika kipindi cha hivi karibuni kwani alikuwa akicheza mapambano makubwa na yenye msisimko zaidi na kufurahisha mashabiki awapo ulingoni Pengo mwenye mashabiki luluki katika kitongoji cha mabibo na viunga vyake vya jirani amewataka wapenzi wa mchezo wa masumbwi kuja kuangalia mchezo uho bila ya kukosa nae Migwede amesema alikuwa anamtafuta sana Pengo kwa udi na uvumba hivyo kwa sasa kaingia katika choo cha watoto hivyo kaingia katika 18 zangu hivyo nawaomba mashabiki wake wote wajitokeze kwani siku hiyo atafanya atakachotumwa na mashabiki zake wa chanika pamoja na vitongoji vya jirani hivyo wasikose kuja

Monday, October 4, 2021

DULA MBABE ULINGONI TENA OKTOBA 9 P.T.A SABASABA CHEKA NDANI NAE SIKU HIYO

DULA MBABE ULINGONI TENA OKTOBA 9 P.T.A SABASABA CHEKA NDANI NAE SIKU HIYO NA MWANDISHI BONDIA ABDALLAH PAZI 'DULLA MBABE' atapanda ulingoni kwa ajili ya mpambano wake mwingine zidi ya Alex Kabangu kutoka DRC YA kONGo katika mpambano wa Raundi kumi akizungumza jijini Dar es salaam promota wa mpambano uho Kaike Siraju amesema kuwa pambano hilo la kimataifa litafanyika katika ukumbi wa P.T.A Saba saba siku ya kumamosi hivyo wapenzi na mashabiki wa mchezo wa masumbwi wanapaswa kujitokeza kwa wingi siku hiyo kwani wameandaa ngumi zitakazoleta burudani ya kutosha siku ya Oktoba 9 Kaike aliongeza kwa kusema kuwa siku ya jumatano bondia kutoka Kongo Alex Kabangu atapokelewa na kufanya mahojiano na wahandishi wa habari za michezo siku hiyo hiyo katika uwanja wa ndege wa kimataifa hivyo amewaomba mashabiki kujitokeza katika mpambano uho aliongeza kwa kusema kuwa siku ya ijumaa itakuwa ni kwa ajili ya kupima uzito na afya kwa mabondia hawo ambapo eneo la kupimia uzito ni katika viwanja vya Las Vegas vilivyopo mabibo sokoni hivyo mashabiki wotenaopmbwa kuja kushudia tukio hilo la upimaji uzito pamoja na Afya kwa mabondia ambapo tutaanza saa nne kamili asubui mpaka saa sita na nusu tutakuwa tumesha maliza mbali na mpambano uho kutakuwa na pambano lingine machachali litakalo wakutanisha bondia Cosmas Cheka kutoka Morogoro na Issa Nampepeche kutoka Dar es salaam wakizungu8mza kuhusu mpambano wake uho bondia Nampepeche amesema yeye ni bondi hivyo amejiandaa vizuri na matarajio yake ni ukushinda kwa .K.O ambayo aita wapa tabu majaji nae cheka amesema kuwa yeye ana wasiwasi kwani mazoezi kwake kama dawa kutwa mara tatu hivyo mpinzani wake ajipange
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...