Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, April 24, 2019

BONDIA RAMADHANMI MBEGU HAPANIA KUMPIGA HASSANI MGAYA KWA K,O APRIL 27 CHANIKA


Na Mwandishi Wetu

BONDIA ramadhani Mbegu 'Migwede' baada ya kumsambalatisha bila huruma mpinzani wake waliyokutana nae katika mpambano wa Pasaka Bilali Rashidi kwa K.O ya raundi ya pili sasa Mbegu atakabiliana na Hassani Mgaya katika mpambano wake wa Aperl 27 utakaofanyika katika ukumbu wa Manka Pub uliopo Chanika Magenge

akizungumza kuhusu mpambano uho Promota wa mchezo wa masumbwi nchini ambapo kiataalamu ni Kocha wa mchezo uho Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa maandalizi ya mpambano huo yamekamilika na sasa wana hesabu masaa kufikia mpambano uho mabonduia hawo watakuwa wakisindikiza pambano kubwa kati ya Saidi Mbelwa na Selemani Galili 'TOLL'   aliongeza kwa kusema mbali na mapambano hayo kutakuwa na mapambano mengine ya kukata na mundu ambapo Juma Bilo atakabiliana na Magambo Christopher na Shukuru Samata ataoneshana kazi na Juma Ramasdhani na Mbwana Chinenda atamkabili Mohamed Muhunzi wakati Ismahil Kharidi atakumbana uso kwa uso na Salehe Ubuguyu Anamu Ngange 'Mnyama' atacheza na Saadi Kuchi wakati Abdul Zugo atazipiga na Lumeme Hussein na Idd Mbaruku atazikunja na Mohamed Mshamu

Super D amesema kuwa mapambano yote haya ni kwa ajili ya mabondia kupata ushindani kila wakati na wanatakiwa wawe bize na mazoezi kwa ajili ya mechi mbali mbali zitakazo wakabili ameseka kuwa uzito watapima siku ya ijumaa katika ukumbi uho huo na watacheza siku ya jumamosi ya April 27

Mpambano huu unategemea kufanyika kabla ya kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani ambapo kampuni ya kuinuwa vipaji vya mchezo wa masumbwi nchini ya Super D Boxing Promotion itakuwa likizo kwa mda kwa kuandaa mapambano ya masumbwi hata hivyo Super D ametoa wito kwa mabondia kuendelea na mazoezi kwa kipindi choto cha Ramadhani kwani kuna mapambano mengi ya ngumi yatandaliwa na Kampuni yake kwa ajili ya kukuza kuendeleza na kuinua vipaji vipya vya masum,bwi nchini Super D Mbali ya kuandaa mapambano ya ngumi pia anajihusisha moja kwa moja kuuza vifaa vya mchezo huo pamoja na kutoa mafunzo ya ngumi katika GYM yake iliyopo Kariakoo Dar es salaam

Saturday, April 20, 2019

NGUMI KUPIGWA JUMAPILI YA PASAKA CCM MWINYI MKUU MAGOMENI


Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akitunishiana misuli na Rojas Masamu baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika CCM Mwinyi Mkuu magomeni Mapipa katikati ni Promota wa mpambano uho Rajabu Mhamila 'Super D' kutoka SUPER D BOXING PROMOTION
Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kutoka Super D Boxing Promotion akiwainu mikono juu bondia Vicent Mbilinyi kushoto na Rojas Masamu baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa Pasaka utakaofanyika CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa

Bondia Vicent Mbilinyi akipimwa Afya na DOKTA Dolnad Madono

Bondia Ramadhani Mbegu 'Migwede' akipimwa Afya na DOKTA Dolnad Madono

Bondia Saluim Tandu akipimwa Afya na DOKTA Dolnad Madono

Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwainua mikono juu mabondia Ramadhani Mbegu 'Migwede' kushoto na Bilali Rashidi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika jumapili ya Pasaka katika ukumbi wa CCM Mwinyi Mkuu nagomeni Mapipa

Bondia Ramadhani Mbegu 'Migwede' kushoto akitunishiana misuli na Bilali Rashidi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika katika ukumbi wa CCM Mwinyi Mkuu Magomeni Mapipa siku ya sikukuu ya Pasaka

Promota Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwainua mikono juu mabondia Salum Tandu kushoto na Gelard Mkude ambao watacheza siku ya jumapili ya pasaka April 4 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu

Bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kushoto akitunishiana misuli na Luckman Ramadhani baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao uakaofanyika jumapili ya Pasaka April 21 katika ukumbi wa CCM mwinyimkuu Magomeni Mapipa katikati ni Promota wa mpambano uho Rajabu Mhamila 'Super D' KUTOKA SUPER D BOXING PROMOTION

Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu MHAMILA 'Super D' kushoto akiwainua mikono juu mabondia Sunday Kiwale 'Moro Best' na Luckman Ramadhani baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa Pasaka utakaofanyika katika ukumbi wa CCM Mwinyi Mkuu Magomeni Mapipa

Bondia Bakari Mbede kushoto akitunishiana misuli na Shomari Milundi baada ya kupima uzitio na Afya kwa ajili ya m,pambano wao utakaofanyika siku ya sikukuu ya Pasaka April 21 katika ukumbi wa CCM mwinyi Mkuu katikati ni Promota wa Mpambano uho Rajabu Mhamila 'Super D' KUTOKA sUPER d Boxing Promotion


Promota Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwangalia mabondia Salum Tandu kushoto na Gelard Mkude  walivyokuwa wakipigiana mikwala mabondia hawo watacheza siku ya jumapili ya pasaka April 4 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu

Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwainua mikono juu mabondia Sandal Nyambala kushoto na Ahmad Kombo baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa Pasaka utakaofanyika katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa

Mabondia Sandal Nyambala kushoto akitunishiana misuli na Ahmad Kombo baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya Pasaka katikati ni Promota Rajabu Mhamila 'Super D' 

Wednesday, April 17, 2019

SUPER D AWAITA MASHABIKI WA NGUMI MAGOMENI SIKU YA PASAKA DAY KUANGALIA MASUMBWI


Rajabu Mhamila 'Super D'
Na Mwandishi Wetu

ZIKIWA imebaki wiki ya mwisho kabla ya mabondia kuzipiga siku ya Pasaka katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa April 21 akizungumzia mpambano uho Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema mabondia wote watakaocheza siku hiyo watapima uzito siku ya jumamosi siku moja kabla ya mpambano wao hapo hapo ukumbini
Super D aliongeza kwa kusema kuwa anawaomba mashabiki wote wa mchezo wa masumbwi waje wangalie jinsi anavyozifanya ngumi kuwa za kimataifa zaidi ngumi zitanogeshwa zaidi na mashabiki lukuki wa kike watakaojitokeza kuwapa sapoti mabondia wao aidha amesema kuwa katika ngumi izo mtu anaweza kuja yeye na familia yake nzima kwani ulinzi na usalama wa mali zao na wa uhakika zaidi

zoezi la upimaji uzito litafanyika kuanzia saa tatu asubui na kumalizika saa tano kamili asubui hiyo hiyo amewataka mashabiki na wapenzi wa ngumi kuja kuangalia mchezo huo kwa kuangalia mabondia kupima uzito na kuangalia watakavyo zipiga siku ya Pasaka

Hussein Pendeza na Juma Ramadhani Choki siku ya April 21  Pasaka Day
Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya sikukuu ya pasaka likiwa limepewa nguvu na 

Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia, na Ibrahimu Class 'KING Class Mawe'  anaefanya shughuli zake Marekani U.S.A ndio waliosababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike


Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia  Idd Mkwera ataoneshana umwamba na Rojas Masamu na  Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa


na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini

NGUMI MZIKI KUPIGWA SIKU YA PASAKA KATIKA UKUMBI WA CCM MWINYIMKUU MAGOMENI




Na Mwandishi Wetu

ZIKIWA zimebakia siku chache kabla ya mpambano wa masumbwi uliokuwa ukisubiliwa kwa hamu na mashabikji lukuki wa mchezo wa ngumi nchini Tanzania utakaofanyika April 21 siku ya sikukuu ya Pasaka katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu

Msanii chipkizi wa wa kizazi kipya David James 'Level Lizze' kutumbuiza wapenzi na mashabiki wa mchezo wa ngumi watakaokuja siku hiyo msanii huyo anaetamba na vibao vyake kadhaa vikiwemo umeni control kingine nimechelewa na bas nipe msanii huyo ameahaidi kukonga nyoyo za mashabiki watakaokuja katika mtanange uho utakaowakutanisha

Hussein Pendeza na Juma Ramadhani Choki siku ya April 21  Pasaka Day
Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya sikukuu ya pasaka likiwa limepewa nguvu na 

Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia  na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' anaefanya shughuli zake Marekani U.S.A  Mabondia hwo ndio waliotia nguvu kwa ajili ya mtanange huo kufanyika  siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike



Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia  Idd
Mkwera ataoneshana umwamba na Rojas Masamu na  Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa


na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini

Monday, April 15, 2019

SUPER D AWAITA MASHABIKI WA NGUMI MAGOMENI SIKU YA PASAKA DAY KUANGALIA MASUMBWI


Na Mwandishi Wetu

ZIKIWA imebaki wiki ya mwisho kabla ya mabondia kuzipiga siku ya Pasaka katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa April 21 akizungumzia mpambano uho Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema mabondia wote watakaocheza siku hiyo watapima uzito siku ya jumamosi siku moja kabla ya mpambano wao hapo hapo ukumbini

Super D aliongeza kwa kusema kuwa anawaomba mashabiki wote wa mchezo wa masumbwi waje wangalie jinsi anavyozifanya ngumi kuwa za kimataifa zaidi ngumi zitanogeshwa zaidi na mashabiki lukuki wa kike watakaojitokeza kuwapa sapoti mabondia wao aidha amesema kuwa katika ngumi izo mtu anaweza kuja yeye na familia yake nzima kwani ulinzi na usalama wa mali zao na wa uhakika zaidi

zoezi la upimaji uzito litafanyika kuanzia saa tatu asubui na kumalizika saa tano kamili asubui hiyo hiyo amewataka mashabiki na wapenzi wa ngumi kuja kuangalia mchezo huo kwa kuangalia mabondia kupima uzito na kuangalia watakavyo zipiga siku ya Pasaka


Hussein Pendeza na Juma Ramadhani Choki siku ya April 21  Pasaka Day
Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya sikukuu ya pasaka likiwa limepewa nguvu na 

Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia, na Ibrahimu Class 'KING Class Mawe'  anaefanya shughuli zake Marekani U.S.A ndio waliosababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike



Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia  Idd Mkwera ataoneshana umwamba na Rojas Masamu na  Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa


na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini

NGUMI KUPIGWA CHANIKA MAGENGE APRIL 27

NGUMI KUPIGWA CHANIKA MAGENGE APRIL 27














MABONDIA RAMADHANI CHOKI NA VICENT MBILINYI WAJIFUA KWA AJILI YA MPAMBANO WAO WA PASAKA APRIL 21 MAGOMENI



Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Juma Choki wakati wa mazoezi yao yaliyofanyika kwa Super D Coach Shule ya uhuru mabondia hawo siku ya pasaka watakuwa na kibarua katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa ambapo Vicent Mbilinyi atapambana na Shabani Mbogo wakati Choki atazipiga na Hussein Pendeza siku hiyo


Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Juma Choki wakati wa mazoezi yao yaliyofanyika kwa Super D Coach Shule ya uhuru mabondia hawo siku ya pasaka watakuwa na kibarua katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa ambapo Vicent Mbilinyi atapambana na Shabani Mbogo wakati Choki atazipiga na Hussein Pendeza siku hiyo



Bondia Vicent Mbiliyi akipambana na Peter Makubi wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake utakaofanyika April 21 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu magomeni Mapipa

MSANII DAVID JEMS KUTUMBUIZA MASHABIKI WA NGUMI SIKU YA PASAKA DAY MAGOMENI



Na Mwandishi Wetu

ZIKIWA zimebakia siku chache kabla ya mpambano wa masumbwi uliokuwa ukisubiliwa kwa hamu na mashabikji lukuki wa mchezo wa ngumi nchini Tanzania utakaofanyika April 21 siku ya sikukuu ya Pasaka katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu

Msanii chipkizi wa wa kizazi kipya David James 'Level Lizze' kutumbuiza wapenzi na mashabiki wa mchezo wa ngumi watakaokuja siku hiyo msanii huyo anaetamba na vibao vyake kadhaa vikiwemo umeni control kingine nimechelewa na bas nipe msanii huyo ameahaidi kukonga nyoyo za mashabiki watakaokuja katika mtanange uho utakaowakutanisha

Hussein Pendeza na Juma Ramadhani Choki siku ya April 21  Pasaka Day
Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya sikukuu ya pasaka likiwa limepewa nguvu na 

Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia  bondia huyo ndie aliesababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike



Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia  Idd Mkwera ataoneshana umwamba na Rojas Masamu na  Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa


na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...