Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, December 16, 2017

SUPER D COACH AKIWA KAZINI KAZI KAZI



MABONDIA KIVU MAWE NA JACOBO MAGANGA WASAINI KUZIPIGA DESEMBA 31 TAIFA


Mabondia Kivu Abdi 'Kivu Mawe' kushoto akitunishiana misuli na Jacobo Maganga baada ya kusaini mkataba wa makubaliano ya kuzipiga desemba 31 katika uwanja wa ndani wa Taifa utakuwa ni mpambano wa kufunga mwaka na kufungulia mwaka Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Kivu Abdi na Jacobo Maganga wakiangaliana kwa usomgo baada ya kusaini mkataba kwa ajili ya kuzipiga Desemba 31 katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Kivu Abdi na Jacobo Maganga wakiangaliana kwa usomgo baada ya kusaini mkataba kwa ajili ya kuzipiga Desemba 31 katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa katikati ni promota Dotto Texas Picha na SUPER D BOXING NEWS
Promota Dotto Texas katikati akiwainua mikono juu mabondia Kivu Abdi na Jacobo Maganga wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa Desemba 31 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Kivi Adbdi akisaini mkataba wa kuzipiga na Jacobo Maganga mbele ya Promota Dotto Tesax kulia

Bondia Jacobo Maganga akisaini kuzipiga na Kivu Abdi mbele ya Promota Dotto Tesax

Friday, November 10, 2017

BONDIA IDDI MKWELA AFUNGA NDOA NA ZAWADI MCHARO Wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa ni bondia Iddi mkwela kushoto na Mkewe Zawadi Mcharo baada ya kufunga ndoa yao Majohe Dar es salaam na kufuatia sherehe kubwa Magomeni Iddi mkwela kushoto akionesha pete yake pamoja na mkewe Zawadi Mcharo maharusi wakiwa na kaka yao Bondia IDDI Mkwela akipiga goti wakati wa kufunga ndoa Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimpa hongera bondia Iddi Mkwela baada ya kuchukuwa jiko Bondia Iddi Mkwela na mkewe wakiwa katika picha yas pamoja na ndugu Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwapongeza maharusi picha ya ndugu na jamaaa maharusi Iddi Mkwela na Zawadi Mcharo wakiwa na wasanii wa kikundi cha Kahole Sanaa Group Maharusi wakiwa na Msanii Teha Maharusi Iddi Mkwela na Zawadi Mcharo wakiwa na wasanii wa Kahole Sanaa Group kushoto ni Teha ,Maya Maharusi Iddi Mkwela na Zawadi Mcharo wakiwa na wasanii wa Kahole Sanaa Group kushoto ni Teha ,Maya Wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa ni bondia Iddi mkwela kushoto na Mkewe Zawadi Mcharo baada ya kufunga ndoa yao Majohe Dar es salaam na kufuatia sherehe kubwa Magomeni Wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa ni bondia Iddi mkwela kushoto na Mkewe Zawadi Mcharo baada ya kufunga ndoa yao Majohe Dar es salaam na kufuatia sherehe kubwa Magomeni BIBI HARUSI ZAWADI MCHARO BW HARUSI IDD MKWELA Wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa ni bondia Iddi mkwela kushoto na Mkewe Zawadi Mcharo baada ya kufunga ndoa yao Majohe Dar es salaam na kufuatia sherehe kubwa Magomeni


Wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa ni bondia Iddi mkwela kushoto na Mkewe Zawadi Mcharo baada ya kufunga ndoa yao Majohe Dar es salaam na kufuatia sherehe kubwa Magomeni 

Iddi mkwela kushoto akionesha pete yake pamoja na mkewe Zawadi Mcharo

maharusi wakiwa na kaka yao
Bondia IDDI Mkwela akipiga goti wakati wa kufunga ndoa

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimpa hongera bondia Iddi Mkwela baada ya kuchukuwa jiko

Bondia Iddi Mkwela na mkewe wakiwa katika picha yas pamoja na ndugu

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwapongeza maharusi


picha ya ndugu na jamaaa

maharusi Iddi Mkwela na Zawadi Mcharo wakiwa na wasanii wa kikundi cha Kahole Sanaa Group

Maharusi wakiwa na Msanii Teha

Maharusi Iddi Mkwela na Zawadi Mcharo wakiwa na wasanii wa Kahole Sanaa Group kushoto ni Teha ,Maya

 Maharusi Iddi Mkwela na Zawadi Mcharo wakiwa na wasanii wa Kahole Sanaa Group kushoto ni Teha ,Maya
 Wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa ni bondia Iddi mkwela kushoto na Mkewe Zawadi Mcharo baada ya kufunga ndoa yao Majohe Dar es salaam na kufuatia sherehe kubwa Magomeni 
 Wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa ni bondia Iddi mkwela kushoto na Mkewe Zawadi Mcharo baada ya kufunga ndoa yao Majohe Dar es salaam na kufuatia sherehe kubwa Magomeni 
BIBI HARUSI ZAWADI MCHARO

BW HARUSI IDD MKWELA


Wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa ni bondia Iddi mkwela kushoto na Mkewe Zawadi Mcharo baada ya kufunga ndoa yao Majohe Dar es salaam na kufuatia sherehe kubwa Magomeni

Monday, October 2, 2017

BONDIA OMARI KIMWERI ATOA MSAADA KWA KINYOGOLI KUPITIA KWA SUPER D NCHINI Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta' makabidhiano hayo yalifanyika ilala CCM katika kambi ya ngumi vifaa hivyo vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS Na Mwandishi Wetu KOCHA wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amemkabidhi vifaa vya mchezo wa masumbwi kwa kocha mkongwe wa mchezo huo nchini Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotumwa na bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia vifaa hivyo vya kufundishia vimeletwa na Kimweri kwa ajili ya kufundishia vijana chipkizi wa mchezo wa masumbwi nchini bondia huyo alimpatia Super D ili amwakilishie kwa Kinyogoli kwa kuwa yeye alkikuwa na majukumu mengini Super D aliwasilisha vifaa hivyo wa ndindi kwa kocha huyo akizungumza baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo kocha Kinyogoli amesema anamshukuru sana kimweri kwa msaada wako huo kwa kuwa vijana wengi wakienda nje ya nchi awawakumbuki wenzao lakini yeye mara kwa mara amekuwa akinikumbuka kwa kuniletea vifaa vya mchezo wa masumbwi nchini kwa ajili ya kuwaendeleza wenzake nakumbuka kesha niletea glove kipindi cha miaka minne iliyopita na sasa ameniletea vifaa hivi hivyo najuwa kuwa kijana anakumbuka nyumbani na hii ndivyo inavyotakiwa kuwakumbuka wenzako kukumbuka ulipotoka nashukuru sana na nawakikishieni kuwa mabingwa wa mchezo wa masumbwi watatokea hapa ambapo kuna vijana wana nia ya kuwa mabingwa wa Dunia alimaliza kusema Kinyogoli nae mwakilishi wa Bondia Kimweri ambae ni Super D amesema kuwa mbali na msaada uho kwa Kinyogoli Kimweri ametoa vifaa mbalimbali vikiwemo pad glove bukta kikingia kichwa clip bandeji na vifaa mbalimbali nchini ikiwemo mkoa wa Tanga Dar es salaam na Morogoro vifaa hivyo vimetoka austalia kuja Tanzania kwa ajili ya Watanzania Wote hivyo mabondia wajitokeze kufanya mazoezi kwa moyo mmoja


 

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS

 Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS
 Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta'  makabidhiano hayo yalifanyika ilala CCM katika kambi ya ngumi vifaa hivyo vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS


Na Mwandishi Wetu


KOCHA wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amemkabidhi vifaa vya mchezo wa masumbwi kwa kocha mkongwe wa mchezo huo nchini Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotumwa na  bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia 


vifaa hivyo vya kufundishia vimeletwa na Kimweri kwa ajili ya kufundishia vijana chipkizi wa mchezo wa masumbwi nchini bondia huyo alimpatia Super D ili amwakilishie kwa Kinyogoli kwa kuwa yeye alkikuwa na majukumu mengini 

Super D aliwasilisha vifaa hivyo wa ndindi kwa kocha huyo akizungumza baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo kocha Kinyogoli amesema anamshukuru sana kimweri kwa msaada wako huo kwa kuwa vijana wengi wakienda nje ya nchi awawakumbuki wenzao lakini yeye mara kwa mara amekuwa akinikumbuka kwa kuniletea vifaa vya mchezo wa masumbwi nchini kwa ajili ya kuwaendeleza wenzake

nakumbuka kesha niletea glove kipindi cha miaka minne iliyopita na sasa ameniletea vifaa hivi hivyo najuwa kuwa kijana anakumbuka nyumbani na hii ndivyo inavyotakiwa kuwakumbuka wenzako kukumbuka ulipotoka

nashukuru sana na nawakikishieni kuwa mabingwa wa mchezo wa masumbwi watatokea hapa ambapo kuna vijana wana nia ya kuwa mabingwa wa Dunia alimaliza kusema Kinyogoli

nae mwakilishi wa Bondia Kimweri ambae ni Super D amesema kuwa mbali na msaada uho kwa Kinyogoli Kimweri ametoa vifaa mbalimbali vikiwemo pad glove bukta kikingia kichwa clip bandeji na vifaa mbalimbali nchini ikiwemo mkoa wa Tanga Dar es salaam na Morogoro vifaa hivyo vimetoka austalia kuja Tanzania kwa ajili ya Watanzania Wote hivyo mabondia wajitokeze kufanya mazoezi kwa moyo mmoja

SUPER D AMWAGIA VIFAA KOCHA HABIBU KINYOGOLI VILIVYOTUMWA NA BONDIA KIMWERI Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS


 

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS















vijana wa kambi ya ngumi ilala

Monday, September 18, 2017

PICHA MBALIMBALI ZA NDOA YA BONDIA OMARI KIMWERI

PICHA MBALIMBALI ZA NDOA YA BONDIA OMARI KIMWERI












































Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...