Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, June 29, 2019

NGUMI KUPIGWA JULAI 7 CHANIKA MAGENGE MBEGU AHAIDI MAMBO MAKUBWA


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi Nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Ramadhani Mbegu 'Migwede' kupiga ngumi ya Mkunjo wa chini Upcut  wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Super D Coach shule ya Uhuru kariakoo Dar es salaam jana Mbegu anajiandaa na mpambano wake wa julai 7 utakaofanyika katika ukumbi wa manka pub Chanika Magenge


Na Mwandishi Wetu
Baada ya tamba mbalimbali za hapa na pale sasa mabondia Hussein Alli 'Gobosi' na Ramadhani Mbegu' Migwede' watazipiga julai 7 katika ukumbi wa Manka Pub Chanika Magenge mpambano wa raundi 8 


Migwede amea wa ahidi mashabiki zake kuja kwa wingi kwani anacheza katika uwanja wa nyumbani na ato waangusha mashabiki zake ujue nimekuwa nikikimbiwa na mabondia mbalimbali hivyo bondia yoyote anaekuja katika anga zangu nakanyaga tu anakuwa kama ngazi

Mpambano uho ulio andaliwa na Rajabu Mhamila 'Super D' kupitia kampuni ya Super D boxing Promotion amesema kuwa pambano hili ndio litakalo amua nani zaidi bada ya mabondia hawo kuwa na viwango sawa kwa sawa  Ambapo katika viwango vya ubora nchini Tanzania Mbegu yeye ni nambari 10 wakati Hussein Ally yeye ni namba 14 katika ubora

Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ambapo Hamidu Kwata atazipiga na Luckman Ramadhani na Salum Mandai 'Pacho' atazidunda na Waziri Rosta wakati Juma Zingiziwa ataoneshana umwamba na Alex Kachelewa juma Malenda atavaana na Ibrahimu Makubi na Hussein Shemdoe atazipiga na Juma Kadoda wakati Said Mbelwa atazidunda na Shabni Kaoneka na mapambano mengine mbalimbali ya vijana chipkizi

Super D aliendelea kwa kuseka kuwa siku hiyo ngumi zitaanza mapema sana kutokana na kuwa na mapambano mengi na makali hivyo kuwataka wapenzi wa mchezo wa masumbwi kuwai kufika ukumbini ili ngumi zianze kwa wakati

usalamab wa mali zao ni wakutosha kabisa kwani mashabiki wanatakiwa waje na familia zao wapate burudani ya mchezo wa masumbwi

SUPER D AMNOWA RAMADHANI MBEGU 'MIGWEDE' KUPAMBANA JULAI 7 CHANIKA MAGENGE



Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi Nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Ramadhani Mbegu 'Migwede' kupiga ngumi ya Mkunjo wa chini Upcut Mbegu anajiandaa na mpambano wake wa julai 7 utakaofanyika katika ukumbi wa manka pub Chanika Magenge


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi Nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Ramadhani Mbegu 'Migwede' kupiga ngumi ya Mkunjo wa chini Upcut Mbegu anajiandaa na mpambano wake wa julai 7 utakaofanyika katika ukumbi wa manka pub Chanika Magenge

Thursday, June 20, 2019

SUPER D KUWAPAMBANISHA ABDUL ZUGO NA RAMADHANI MBEGU SIKU YA SABASABA DAY CHANIKA


Na Mwandishi Wetu
Baada ya tamba mbalimbali za hapa na pale sasa mabondia Abdul Zugo na Ramadhani Mbegu' Migwede' watazipiga julai 7 katika ukumbi wa Manka Pub Chanika Magenge mpambano wa raundi 8

Mpambano uho ulio andaliwa na Rajabu Mhamila 'Super D' kupitia kampuni ya Super D boxing Promotion amesema kuwa pambano hili ndio litakalo amua nani zaidi bada ya mabondia hawo kuwa na viwango sawa kwa sawa ambapo mabondia hwao wmecheza mapambano yao 12 kila mmoja na kushinda 10 kila mmoja na ku droo 2 kila mmoja katika mapambano yao

mpambano huo utakuwa wa kukata na shoka kwa kuwa kila mmoja anataka kuendeleza wimbi la ushindi

Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ambapo Hamidu Kwata atazipiga na Luckman Ramadhani na Salum Mandai 'Pacho' atazidunda na Waziri Rosta wakati Juma Zingiziwa ataoneshana umwamba na Alex Kachelewa juma Malenda atavaana na Ibrahimu Makubi na Hussein Shemdoe atazipiga na Juma Kadoda wakati Said Mbelwa atazidunda na Shabni Kaoneka na mapambano mengine mbalimbali ya vijana chipkizi

Super D aliendelea kwa kuseka kuwa siku hiyo ngumi zitaanza mapema sana kutokana na kuwa na mapambano mengi na makali hivyo kuwataka wapenzi wa mchezo wa masumbwi kuwai kufika ukumbini ili ngumi zianze kwa wakati

usalamaa wa mali zao ni wakutosha kabisa kwani mashabiki wanatakiwa waje na familia zao wapate burudani ya mchezo wa masumbwi

NGUMI KUPIGWA CHANIKA SIKU YA SABASABA 2019









Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...